HAPPY B,DAY MWANA FA
Leo
ni siku ya kuzaliwa msanii wa Hip Hop hapa Bongo Mwana FA, hii ilikuwa
jana usiku pande za Element baada ya jamaa kuyaoga maji ipasavyo hahahaa
akiwa na washkaji zake tena bila hurumaaaa hii tunaitaga #teamNDOO
Pande
hizo bwana soda huuzwa bei ghali kidogo lakini AY akaona hapana angalau
amwagiwe kidogo si mbaya kuikumbuka siku hiyo hahhaaa
Picture kwa hisani ya GongaMx
No comments:
Post a Comment