Wednesday, March 13, 2013

ENTERTAINMENT

HAPPY B,DAY MWANA FA

Leo ni siku ya kuzaliwa msanii wa Hip Hop hapa Bongo Mwana FA, hii ilikuwa jana usiku pande za Element baada ya jamaa kuyaoga maji ipasavyo hahahaa akiwa na washkaji zake tena bila hurumaaaa hii tunaitaga #teamNDOO 
Pande hizo bwana soda huuzwa bei ghali kidogo lakini AY akaona hapana angalau amwagiwe kidogo si mbaya kuikumbuka siku hiyo hahhaaa 
Picture kwa hisani ya GongaMx

Tuesday, March 12, 2013

(Audio) One Boy - Halimbaya

0 Comments

No comments:

Post a Comment